Tetesi za soka Ulaya Jumanne 14.03.2018


Aliyekuwa kocha wa Souampton Mauricio Pelegrini
Image captionAliyekuwa kocha wa Souampton Mauricio Pelegrini
Aliyekuwa mkufunzi wa Watford Marco Silva ni miongoni mwa wakufunzi wanaopigiwa upatu kuchukua kazi ya kuikochi Southampton kufuatia hatua ya klabu hiyo kumfuta kazi kazi kocha wake Mauricio Pellegrino siku ya Jumatatu.. (Mail)
Wakati huohuo, Silva anatarajiwa kurudi nyumbani kwao Portugal ambapo anakaribia kuafikia makubaliano ya kuwa kocha mpya wa Benfica. (Times - subscription required)

Comments